Kozi Ya Biblia

Pamoja na msimamizi • 15 hesabu masomo • 16,782 hesabu wanafunzi

utangulizi wa kozi

Karibu BiblBasics

Hii ni kozi ya masomo 15. Itakuonesha mambo muhimu ya Biblia, ujumbe wa Mungu kwako.

Kila somo linafuatwa na maswali. Unapojiunga, utapata kiongozi ambaye ataangalia majibu yako na ambaye utaweza kumuuliza maswali ya ufuatiliaji. Tunatumaini utafurahia kozi, na kwamba itakusaidia kusogea karibu na Mungu!

Tunakushauri uwe unakusanya walau somo moja au mawili kila muda unaposoma. Hii itakuruhusu kufikiri kwa kina kuhusu mambo ya kiroho katika somo, na kuendeleza ushirikiano na msimamizi wako kwa kuzungumzia maswali yako na maisha yako ya kiroho.

Masomo

  • Uumbaji

  • Anguko

  • Nuhu na Garika

  • Ahadi ya Mungu kwa Ibrahimu

  • Kuhama toka Nchi ya Utumwa

  • Sheria

  • Sadaka

  • Daudi

  • Kuzaliwa kwa Yesu

  • Yesu, Mungu Kweli

  • Yesu, Mwokozi Ambaye Haendani na Matazamio Yetu

  • Kuteseka kwa Yesu

  • Kufa na Kufufuka kwa Yesu

  • Kupaa kwa Yesu na Kuja/Kumiminwa kwa Roho Mtakatifu

  • Hatua Zinazofuata

Anza kozi

;